Uraibu ni Adui mjanja Sana wa maisha brother ☝️ utegemezi wa hatari na ulazima wa kufanya hata usichotaka na kustahili kufanya rest in soul peace Ngwea
Msuli tembo matokeo sungura anamaanisha unafanya kazi kubwa sana compared to ukubwa wa tembo and matokeo ya kazi uliofanya yanakua ni madogo compared to sungura
Fidy we mwenyewe upo lever za mangaribi mzee baba kuna tofauti gani na unavyoviongea zaidi ya imani ya mungu
Fid Q: msanii bora kuwahi kutokea. Jamaa yupo vizuri sana.
Ngosha the Don saruti
Ukweli kabisa🔥✅
Uraibu ni Adui mjanja Sana wa maisha brother ☝️ utegemezi wa hatari na ulazima wa kufanya hata usichotaka na kustahili kufanya rest in soul peace Ngwea
ALWAYS....APPRICIET...TO U BRO..🙏🙏🙏🎧🎤🔥🔥🔥🔥🔥...EQ....KUBWA..CHANGE GAME BRO..TENA....BIG MAN....🔥🔥🔥🔥👌🎧 ON THE MAP 🔥🔥🔥🔥
Napenda interview ziko conscious kama hii.Sio kufocus tu kwa fake lifestyle halafu tunakosa kuangalia real issues
Upo vizuri sana mzee baba
fid we no noma speech ya ki profesa
Hiyo ya msuli tembo matako ya sungura ....... Naipitia 😇😂😇😂😇
Msuli tembo matokeo sungura anamaanisha unafanya kazi kubwa sana compared to ukubwa wa tembo and matokeo ya kazi uliofanya yanakua ni madogo compared to sungura
NGWEA ni tupac wa Tanzania uyo
Ushasema mkuu 🇰🇪🇰🇪
stor haina unafiki yan izi nyumbu za sk iz kumsfia mwenzie
Oyy Jr eeh! Fid ni story teller ujue !😂😂
Sout ipo chini kidogo 🙏
Rest in peace Albert magwair
Nasubiri tu kuona collaboration Yako mbuzi na kijana wako dizasta
Tena Chorus tunamupa Mr bleue
Respect May brother
Wajob hataki kabisa kukubali
The don fid q
Daaaaaaaaaaaa huyu jamaa Ana akili gan duuuuuuu jiniaz
Nakubali Fid
Fid q ile Ngoma ya I'm profeshino ile beat projuza gani alinyonga
DUKE
Msodoki anamuanaje fid
fid Q HATARIII
Wakazi hana lolote hawezi kumfikia ngwer hata kidogo wakazi mlopokaji tu
Kubwa sana hii
Mzee mbuzi umeua
Fid q mi ukianzisha dini nakua muumini wako
Ana converce Power huyu jmaa kkkkk
#bigman
Vyima vimekutana
❤❤❤
Mimi binafs huyu mtuu natambua alicho nachoooo
Ngosha the Don hauna aja na tuzo zao tumesha kupa tuzo mtaani
R.I.P Albert Mangwear
Ila huyu jamaa